Wednesday, 21 August 2013

PICHA ZINGINE ZA MAPOKEZI YA FEDHA NCHINI BOTSWANA

Feza Kessy ameshakuwa staa wa Afrika. Namna ambavyo amekubalika nchini Botswana aliko mpenzi wake O’neal si kitu cha kawaida. Feza amepata mapokezi ya kipekee nchini humo kiasi kilichowalazimu yeye na mpenzi wake wazunguke mitaa ya mji mkuu, Gaborone iliyokuwa imefurika mashabiki wake kumtazama na wao wakiwa kwenye gari la wazi wakiwasalimia kwa furaha kubwa.



BSHcfKKCIAA0em5
Feza na Oneal wakipata chakula
BSHfq5mCEAAymfh
Feza Kessy akishangaa jinsi anavyokubalika Botswana
BSHGYeIIUAAWWrF


BSHHikPCcAEVuS0
BSHIsV0CMAAhshw

BSHp3LQCMAEZcx-

BSHqA2lCIAIOSli

BSHqdxICIAACIOI

BSHQRGlCIAAtJqP

BSHquiFCUAAbuG6

BSHXfWwCAAEU4vT
BSHYz-DCIAA08wK
BSI-9nxCAAEPwXj
BSIFvU1CIAA_aj0
BSIgxd3CcAE_R0o
BSIhBhlCEAAAXBU
BSIhY5ACYAAQLr2
BSJDAhhIUAAKXkQ

No comments:

Post a Comment