Sunday, 8 September 2013

MSIBA:MUIGIZAJI WA FILAMU ZUHURA MAFTAH(MALISA) AFARIKI DUNIA


Habari zilizotufikia ni kuwa muigizaji wa filamu nchini Zuhura  Maftah ambaye wengi wanamjua kama Malisa amefariki dunia. Bado hatujajua kilichosababisha kifo cha muigizaji huyo lakini
tutakuletea updates zaidi.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, amen
         Malisa

No comments:

Post a Comment