Showing posts with label LAANA. Show all posts
Showing posts with label LAANA. Show all posts

Friday, 20 September 2013

TAZAMA PICHA NYINGINE 200 PAMOJA NA VIDEO ZA UTAMU ZA MANAIKI SANGA:HII NDIO FUNGA KAZI:

             Katika hali ya kushtua msanii chipukizi Manaiki Sanga “The Don” aliyejipatia umaarufu mkubwa nchini na duniani baada ya picha zake za utupu akiwa na wanawake zaidi ya 400 wakiwemo wazungu akifanya nao ngono nzembe na baadae kusambaa kwenye mitandao yote duniani na kuonwa na mamilioni ya watu hasa wale wanaopata habari kupitia mitandao ya kijamii, sasa ameamua kutengenezea filamu halisi ya matukio hayo akiwa na wanawake walewale aliofanya nao ngono.
                                                   <<BOFYA HAPA KUONA PICHA NA VIDEO HIZO>>

Thursday, 19 September 2013

FLORA LYIMO A.K.A MBUTA NANGA APIGA PICHA ZA NUSU UCHI!!!! NI YULE ALIYEDAI KUBAKWA NA MBUNGE GODBLESS LEMA

 
"Eeh jamani kweli UKISTAAJABU YA MUSSA UTAYAONA YA FIRAUNI, huyu ni Flora Bahati Lyimo yule mwanamama aliyedai kubakwa na muheshimiwa Godbless Lema.. kama mama zetu kama hawa wanapiga picha za hivi nakupost kwenye mitandao TENA BLOG YAKE MWENYEWE sijui wanatufundisha nini sisi watoto wao, nimesikitika sana baada yakuona picha hizi huku mwenyewe akionekana hana habari kama kavaa nguo za heshima yupo msikitini anaswali..
Sasa hapa akiendeleza ile stori yake ya kubakwa si watu watamuona chizi na anamsingizia Muheshimiw!!!
Source za Picha ...Ingia Blog yake Hapa kuona Picha zaidi: FLORA LYIMO BLOG

VIDEO:JAMANI HUU ULIMBUKENI UTAISHA LINI,DEMU AJIREKODI AKIKATA MAUNO NA KUSAMBAZA VIDEO

 
Inasemekana huyu ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa nchi ,inastaajabisha sana kwani haya matukio hufanywa na wanafunzi hasa wa chuo tanzania tubadilike,wanafunzi nyie ndo wasomi iweje mnafanya mambo ya aibu kama haya elimu yenu isiishie darasani itumieni hadi katika jamii huu ni ushamba acheni  izoooooooo .CHEKI VIDEO HAPO CHINI 
 

 

Wednesday, 18 September 2013

HUYU NDIO MSANII WA NYIMBO ZA INJILI ALIYEJITANGAZA KUWA YEYE NI SHOGA..!!!

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Jijini Nairobi,Kenya,George Barasa maarufu kama Joji Baro amejiatangaza kuwa yeye ni shoga.Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 22 akizungumza na mtandao mmoja wa nchini humo alisema kuwa alizaliwa Jijini Nairobi na baadaye kuhamia Bungoma miaka michache baadaye. 

 Aidha ameongeza kuwa pamoja ya kuwa ni shoga pia ameathirika na ugonjwa hatari wa Ukimwi pia ni mwanaharakati wa kutetea Haki za Mashoga na Wasagaji na wana zaidi ya wanachama 2,800,Ambao wote ni mashoga na wasagaji ambapo vijana idadi yao 15 na watu wazima ni 68.
Alisema kuwa aliamua kuhamia Mjini EMBAKASI BAADA YA FAMILIA yake kumtenga alipojuliakana anajihusisha na vitendo hivyo.

Alipokuwa anasoma shule ya Mtakatifu Paulo Miluki High School ndipo alipoanza kujifunza vitendo hivyo vya ushoga na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiongozi mmoja wa kanisa Katoliki.

Machi 11, 2012 , Madaktari walimpima na kugundulika kuwa ni mwathirika wa VVU / UKIMWI na kwamba amedai kuwa kwenye muziki wa INJILI amekuwa akipata upinzani mkubwa kutoka kwa wanamuziki mwenzake wa muziki huo.
Anasema amechoka kuhukumiwa na kuonewa huku akinyanyapaliwa na watu wengine baada ya kugundulika kuwa nafanya vitendo hivyo.

‘Mimi ni binadamu,Kama binadamu yeyote naumia sana ninavyonyanyapaliwa,’alisema Barasa.

Anasema kwenye masuala ya urembo hayuko nyuma ana mawigi 15 na zaidi ya pea za viatu virefu ‘High hills’30.
‘Napenda sana urembo na pia naandika kitabu cha maisha yangu kiitwacho "Dream Boy"ambacho kitaeleza historia nzima ya maisha yangu na jina la albanu yangua ya injili inaitwa "Bora Siku"alisema Barasa.

‘Namtumikia Mungu na natumaini Mungu anakubali utumishi wangu,’alimalizia Barasa.

Tuesday, 17 September 2013

MZEE WA MIAKA 95 AMUOA MWANAUME MWENZAKE WA MIAKA 65 MAREKANI....MATUKIO KATIKA PICHA


 
 
 
Wanaume wawili wazee ambao ni maaskari wakongwe walioshiriki vita ya pili ya dunia, ijumaa iliyopita (September 13) walifunga ndoa ya jinsia moja (mashoga) baada ya kuwa katika uhusiano kwa miaka 20 kabla ya kufikia uamuzi wa kuoana.
 
 
 
John Banvard mwenye miaka 95 alimuoa Gerald Nadeau mwenye miaka 67 huko Diego, California Marekani.
 
 
 
Tukio hilo limeonekana kutoungwa mkono na baadhi ya majirani ambapo ndoa hiyo ilifungiwa ambapo mtu mmoja alijaribu kutoa taarifa kwa kundi linaloendesha harakati za kupinga ndoa za mashoga kwa ajili ya kuja kujaribu kupinga ndoa hiyo isifungiwe katika eneo lao lakini ilishindikana







PICHA ZA UCHI ZA DENTI WA CHUO KIKUU HAPA NCHINI ZAVUJA MITANDAONI



 MDADA MWENYEWE NI HUYU.



DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika visiwa vya Zanzibar.


Mwanafunzi huyo alionekana kutumia muda wa masomo kufanya mambo yake hayo, na kilichowashangaza wengi kile kitendo cha yeye kutoka DODOMA mpaka ZANZIBAR ili kutimiza haja zake katika kipindi ambacho wenzake walikuwa katika masomo..


DADA HUYO NA NJEMBA WAKE WAKIENDELEA KULA RAHA.....




SOURCE:MAJAMBO BLOG







Sunday, 15 September 2013

BINTI ANASWA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI ..


               Hawa binadamu  wasiokuwa na aibu  walikutwa barabarani wakifanya mapenzi huku wakiwa wameegesha gari lao pembeni

Tukio hili chafu lilitokea week end iliyopita wakati  binti  huyu  akitoka  club  huku  akiwa  tungi.Alipotoka  nje  ya  ukumbi  huo  wa  starehe, alionekana  kumvaa  dreva  tax  mmoja  ili  ampeke  nyumbani.....
Mdau   aliyeinasa  picha  hii  anadai  kuwa  walipoondoka  naye  aliwasha  gari  yake  tayari  kwa  safari  ya  kurudi  kwake.Wakiwa  njiani, alishtuka  kuona  gari  hiyo  ikipakiwa  pembeni  mwa  barabara....
Jamaa  anadi  kuwa  alilipita  gari  hilo  na  alipofika  mbele  alikaa  kidogo  na  kuamua  kurudi  tena  na  ndipo  alipowafuma  live  wakifanya  uchafu  huo  na  kuwapiga  picha....
Walipokurupushwa  na  mwanga wa kamera  ya  jamaa  huyo, mbulula  hao  waliliondoa  gari  lao  kwa  kasi  na  kutokomea

POMBE ADUI WA MAADILI ANGALIA HAWA AKINA DADA WALICHOKIKFANYA BAADA YA KULEWA

Nakuwa na huzuni sana pale nionapo matukio ya ajabu yakiwa yanaendelea katika ulimwengu huu pengine wanadamu tumesahau kwamba duniani tunapita huu ni zaidi ya uchafu mbaya zaidi vitendo hivi vinakuwa vikizidishamiliri tubadilike haraka hawa ni kutoka nigeria je bongo yapo haya
                       TOA USHAURI WAKO KWA HAWA

TAZAMA RIHANNA ANAVYOCHEZA NA MKOBA WENYE UUME WA DHAHABU..!! LAANA TUPU

            Rihanna aendelea kufanya vituko vyake baada ya kipindi kama cha mwezi mmoja nyuma kuonyesha picha zake za uchi hivi sasa amepiga picha akiwa ameshikilia ......... 

 



Rihanna was spotted dancing out of the front entrance of her hotel, 2 evenings ago, with her tongue out as she showed off her new penis clutch purse.

The black bag, designed by Vivienne Westwood, features an embossed gold penis on the front, costs $442.

Would you rock this purse, ladies

VIDEO YA NGONO YA WANAFUNZI WENGINE WA CHUO YANASWA....

 
                Baada  ya  video  wa  wanafunzi  wa  chuo/ college  flani  kunaswa  na  mtandao  huu   miezi  minne iliyopita, mpekuzi  wetu  amefanikiwa  kuinasa  video  nyingine  ya  wanafunzi  ambao  waliamua  kuigeuza HOSTEL  yao  kuwa  GESTI....

Katika  video  hii, wanafunzi  wawili  ambao  wanasomeshwa  kwa  jasho  la  wazazi  wao  wanaonekana  wakivunja  amri  ya  sita  ndani  ya  HOSTEL   huku  wakiwa  wametegesha  kamera  yao  pembeni.

ANGALIZO:
  Video  za  wanafunzi  hawa  ni  mbaya.Lengo  letu  ni  kuuanika  huu  uchafu  hadharani. Ni  UAMUZI  WAKO  kuwashuhudia  au  Kutowashuhudia.

                                                         <<BOFYA HAPA KUANGALIA>> 


BOFYA  HAPO  JUU  KUJIONEA (  watu wazima  tu )

Friday, 13 September 2013

MAKAHABA NA OMBAOMBA 200 WAKAMATWA JIJINI DAR..!


 

















Ombaomba zaidi ya 200 na wasichana wanaofanya biashara ya ngono maarufu kama ‘dada poa’  usiku wa kuamkia jana walikamatwa kwenye operesheni maalumu ya kuwaondoa katika maeneo mbalimbali ya jiji,iliyofanywa kwa ushirikiano wa Polisi na askari wa jiji.
Ombaomba na kinadada hao walikamatwa kwenye Manispaa ya Kinondoni na Ilala ambapo baadaye walihifadhiwa kwenye Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa(Sabasaba) kabla ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Jiji kwa makosa ya uzurulaji.

Ombaomba hao baada ya kufikishwa mahakamani hapo  walitakiwa kurudi katika makazi yao kuanzia leo  ili wasichukuliwe hatua za kisheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadick alipohojiwa alisema,operesheni hiyo,imebaini zaidi ya asilimia 70 wanatoka mikoani .

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alithibitisha kukamatwa kwa ombaomba hao na kueleza kuwa zoezi hilo ni endelevu.

Sunday, 8 September 2013

VIDEO: WANASWA WAKIFANYA MAPENZI MCHANA KWEUPE KWENYE PARKING YA MAGARI

Tazama video yenyewe hapo chini................
"ONYO" Ni kwa watu walio na umri zaidi ya miaka 18 ndio wanaweza kuiona video hii......

Saturday, 7 September 2013

ANGALIA VIDEO MBILI ZA WASICHANA WAKIMWAGA RADHI HADHARANI KWENYE SHEREHE HUKO MANZESE.....HII NI AIBU.

                   Hii ni video ya watoto wa kitanga wakikatika mauno katika kigodoro hivi karibuni. hii ilikua ni katika sherehe moja hapa uswahilini manzese!!!! 

Tahadhali hii ni kwa wakubwa tuuu!

Thursday, 5 September 2013

VIDEO YA WABONGO WAKINGONOKA YANASWA NI BAADA YA ILE YA MRISHO NGASA JIONEE MWENYEWE



Baada  ya  video  ya  ngono  ya  Mrisho  Ngasa  kuvuja  na  kusambaa  kwa  kasi, video  nyingine  ya  wabongo  imevuja  wakifanya  uchafu  wao  huku  wakijirekodi.....
                                                        <<BOFYA HAPA>> 
chini ya miaka 18 hawatakiwi kuangalia ili kulinda maadili

Wednesday, 4 September 2013

HII NI LAANA....!!! KIJANA AMPA MIMBA MAMA YAKE MZAZI MARA MBIILI.


Kijana mmoja nchini zimbabwe katika kijiji cha pote amekimbia kijiji hicho baada ya kujikuta katika matatizo makubwa kufuatia kumtia mimba mama yake mzazi kwa mara ya pili.

Ikumbukwe hapo nyuma kijana huyo aliwahi kutenda kitendo hicho ambapo wana kijiji walimsihi kutorudia tena kitendo hicho baada ya kijana huyo kumshawishi mama yake na kuitoa mimba hiyo.

Simon Matsvara na mama yake Ethel Vhangare aliamua kuondoka baada ya waumini wa kanisa lao kugundua kuwa mimba hiyo ni batili.

Miaka minne iliyopita, wawili hao waliripotiwa na kutozwa faini na viongozi wa kijiji kwa kosa la kutoa mimba.

Chifu wa kijiji, Chinamhora alisema kuwa jamii ilikasirishwa na kitendo hicho na kwamba yeye aliamua kuwatuma wafanyakazi wake kuwatafuta wawili hao waliokuwa wameamua kuishi kama mume na mke.

“Tunaenda kuwatafuta mpaka tuwapate na wakisha patikana ni lazima wapewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa watu wengine wanoa jihusisha na vitendo kama hivyo ambavyo havikubaliki katika jamii”Alisema chifu huyo.

Imeripotiwa kuwa wawili hao walianza mahusiano yao tangu mwaka 2008 wakati Matsvara alipopewa jukumu la kumuuguza baba yake mzazi mzee Agripah,ambae baadae alikufa.

Mama huyo alipata mimba mara ya kwanza, wawili hao walitozwa faini na kuambiwa uhusiano wao ukomee hapo wasije wakarudia tena.

Habari ya mimba ya pili ziligundulika baada ya mama huyo kuanza kuwakwepa wahumini wa kanisa lake walipokuwa wakimtembelea nyumbani kwake.Baada ya uchunguzi ndipo walipogundua kuwa mama huyo ni mjamzito wa miezi 5 na ujauzito huo kapewa na mwanae.

“Wawili hao wameamua kukimbia kijiji chao baada ya kugundulika wamejihusisha na kitendo hicho.”

Tuesday, 3 September 2013

MUME WANGU SIO RIZIKI,SOMA HAPA STORI YA KUSIKITISHA YA DADA HUYU!!


Hello,

Kuna kitu ningependa niwashirikisha marafiki wa ukurasa huu ingawa ni aibu lakini ni vyema pia na akina dada wenzangu na hata vijana wa kiume wajifunze kutoka kwangu.

Mimi ni binti wa miaka 30 na nimebahatika kupata watoto wawili wakiume na wakike na namshukuru muumba kwani wana afya tele.

Niliolewa miaka 5 iliyopita na kijana mmoja ambaye tulikuwa wapenzi kwa takribani miaka sita na baadae tukaona ni vyema tuoane.

Katika maisha yetu ni kweli baba watoto amekuwa mtu asiye na makuu na mwenye kujali na mara nyingi tumekuwa hatuna matatizo madogo madogo kwani yeye ni mzee wa mesheni town.

Nianza kusikia mtaani kuwa mme wangu sio riziki lakini nilipuuzia kwani siku hizi kijana akiwa na maendeleo kidogo na ni handsome basi watu hawataacha kumpa kashfa kibao na hasa ukizingatia kazi za mishemishe nazo huwa na majanga yake.

Hata nilipoambiwa kuwa kwa nini anakuwa karibu sana na waarabu nilipuuza kwani mimi nilimwamini sana mme wangu. Na pia nilijiuliza mbona deal zake nyingi ni dubai na oman kwa hiyo ni kawaida tu ukizingatia huko ndio kuna watu wa rangi hiyo.

Kuna wakati nakumbuka niliwahi kumuomba ruhusa niende kijijini kwetu nikawasalimie wazazi na bila hiyana akaniwekea gari tayari pamoja na vijisenti vya kuwapa wazazi na kuwa ningekaa kule kwa muda wa wiki mbili.

Kwa bahati mbaya sikuweza kukaa siku zote kwani kuna tatizo lilijitokeza ikanibidi nirudi mapema bila kumwambia nikijua tungejadiliana kunako nyumbani nikifika

Sikuamini kwani kufika nyumbani tena kwenye chumba.chetu cha kulala nikaona boxer ngeni nikamuuliza hii ni ya nani? Nakumbuka akanijibu kuwa ni ya shamba boy, nikajaribu kuuliza ilifikaje ndani kwetu akadai usiku alikuwa anaogopa hivyo akawa akilala na shamba boy.

Ulikuwa ni mtihani kwangu ingawa ilinibidi niamini huku nikijiuliza kama baba anakuwa muoga sie wana famialia tunaohitaji ulinzi wake itakuwa vipi? Basi yakaisha na maisha yakaendelea.

Ilipita miezi na sasa ni miaka ambapo wiki iliyopita nimemfumania live akiwa na jibaba la kiarabu tena bila aibu juu ya kitanda chetu cha ndoa.

Nilishtuka na kidogo nizirai lakini nilijikaza hasa ukizingatia sikutaka majirani wapate hili, kwa aibu akanifuata na kuniambia nimsamehe kwani ni mara ya kwanza na amefanya hivyo ili apate deal la kwenda Dubai kufanya shoping ya nyumba na ofisi yetu mpya.

Kweli niliamua kumuachia nyumba na nimeondoka na wanangu mpaka sasa nipo nimepanga sehemu ambapo nimeanza maisha mapya na kamwe hata niona maana ni laana.

Nawaasa vijana hakuna haraka ya kukimbilia maisha mazuri, one step at a time.....


Dunia imeisha

Timu ya habarizetuleo inakemea vikali vitendo kma hivi katika jamiii....

Friday, 30 August 2013

MSHIRIKI WA BIG BROTHER APEWA OFA YA KUTENGENEZA FILAMU ZA NGONO

                                                                             AfroCandy

Nahakika AfroCandy haitaji utambulisho wa hali ya juu kwa maana ni mcheza filamu za ngono na ni muongozaji wa filamu hizo huko nchini Nigeria, Ila kama umfahamu vizuri basi
muangalie Google utapata majibu na kujua huyu ni mtu wa aina gani.


Beverly Osu
Baada ya mashindano ya Big Brother Africa kuisha AfroCandy ailiamua kufunguka na kuweka wazi kuwa anataka kufanya kazi ya kucheza Filamu ya Ngono na mshiriki kutoka Nigeria Anaejulikana kwa jina la Beverly Osu.
Alichodai AfroCandy mpaka akaamua kumwambia Bevrly wacheze movie ya ngono ni kutokana na Beverly kufanya Ngono katika jumba hilo na kuambulia patupu 
 

Ujumbe Alioandika AfroCandy Kwa Bevery
AfroCandy Akiwa Kazini

 
Bevery Akifanya Yake Ndani ya Jumba la BBA


  

Thursday, 29 August 2013

TABIA YA KUPIGA PICHA ZA UTUPU YAENDELEA KUWATAFUNA AKINA DADA WA KITANZANIA...



AIBU.....AIBU.......

Tabia  ya  kupiga picha  chafu  za utupu  imeendela kuwatafuna  akina  dada  hapa  nchini.....
Pamoja na jitihada za kuwaanika watu  hawa, tabia hii  imeendelea kuota mizizi kila kukicha.Wahusika wakuu wa  uchafu  huu ni akina dada.......

Iko haja kwa  akina  dada  kujitathmini.....Kwa  nini  kila siku ni wao tu??? 
MSIMAMO WETU:
   Tutaendelea kuwaumbua  wote wapiga utupu bila kujali   umaarufu,pesa walizo nazo au  ngazi zao  za uongozi