
Temba na Chege watashiriki show za Serengeti Fiesta Musoma siku ya Ijumaa hii na kumalizia Shinyanga siku ya Jumapili zikiwa ndio show zao za mwisho za Fiesta kabla ya kuondoka nchini .
Msanii mwingine wa Bongo Ommy Dimpoz aliondoka nchini Jana kuelekea Marekani ambako atakuwa na show kadhaa kabla hajarejea nchini kushiriki fainali ya Serengeti Fiesta Dar es salaam, huku Diamond Platnumz naye anatajaria kwenda nchini Malaysia wiki ijayo ambako atafanya show (September 20
No comments:
Post a Comment