Showing posts with label Hemed PHD. Show all posts
Showing posts with label Hemed PHD. Show all posts

Saturday, 31 August 2013

HATIMAYE NISHA AFUNGUKA YA MOYONI KUHUSU HEMEDI PHD....!!

     
 Jana  muigizaji Hemedi Suleiman maarufu kama Hemedy PHD amesherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 27 katika ulimwengu huu.

“HAPPY BIRTHDAY.. mwanaume unaefanana na mwanaume wa maisha yangu, mwanaume nnaempenda kuliko chochote duniani,mwanaume alienifanya nisione mwingine duniani zaidi yake,mwanaume akiyenipunguza kilo kumi ndani ya siku 20,(mind ur own bizzness usiniulize kwanini), ninapokuangalia ww namuona yeye,, HAPPY BIRTHDAY my Lusungu my Fernandoo .. my Mathias,, maisha mema na yenye baraka tele yawe mbele na nyuma yako..”

Huo ni ujumbe alioundika mwanadada Nisha kwa Hemedy.

Happy birthday Hemedy.

Sunday, 25 August 2013

MWONEKANO WA HEMEDY PHD BAADA YA KUPATA AJALI..

Muigizaji Hemedy Suleiman ambaye pia ni mwanamuziki wa Bongofleva amefunguka kuwa anaendelea vizuri baada ya kupata ajali mbaya ya gari na gari hilo kudaiwa kuharibika. Hemedy alikuwa akimsindikiza Gerry Wa Rhymes ambaye pia ni msanii
maarufu nyumbani kwake Sinza na kupata ajali baada ya kugonga kalivati. Kupitia mtandao mmoja wa kijamii Hemedy ameandika "Namshukuru mungu naendelea vizuri baada ya kupata ajali mbaya iliyonikuta..ahsanteni kwa dua zenu, kifua tu ndiyo kimeumia na mkono"
Get well soon Hemedy